Adui muombee njaa ama um-bomolee paa la nyumba. Mashemeji wengine visirani kweli. Kumbe shemeji yanguRajabu hanitakii mazuri. Niligundua ana mpango wakusambaratisha ndoa yangu na Kakake Baraka. Akinionanimeng’aa analeta fitina na hiyana, eti tumekopa pesa. Tukilavizuri, ni pesa za siasa. Mwanaume mzima na ndevu zake lakiniana ulimi mchafu, roho nyeusi na akili punguwani. Simpendihata kidogo. Muda mrefu nimejaribu kujipendekeza kwake, vikashindikana. Kwanza alinitongoza nikamkataa. Hana hayawala aibu. Kakake akijua atamchinja mchana peupe autupemzoga wake jaani. Ila amekataa kukoma, anashinda amezuacheche eti mie kicheche simfai kakake.

“Mkeo hajui kupika. Jana ametengeza sima akaitia chumvi namdalasini, hata haikuwa na ladha wala haikuiva. Nimetapikakaribu waniokote. Halafu hana shepu, ukimuona utadhanianakuja kumbe anaenda zake. Uliona nini kwake hadiukamtolea posa?? Afadhali ng’ombe ulizotoa zingebakizingetufaidi maziwa” alipayuka karibu kila siku akijaribukuniharibia jina na kunifanya nionekane mpungufu.
Juhudi zake zilichukua mkondo mpya juma lililopita. Alikujajioni na kuanza kulia akijigaragaza mchangani eti nimemroga. Majirani nao wakatoka nje kujionea vioja. Akadai eti nimeendakijiweni na kumfanya akose kazi aliyotarajia kuipata. Kaziamekosa, lawama kanitupia mie. Sikutaka maneno naye, maananimechoka. Mume wangu alirudi kutoka kazini na kumpatabado akijililia kama mtoto chini. Nilingojea aniulize kama nikweli nimemroga, kwa bahati nzuri ama mbaya hakuuliza. Nilikuwa nishampangia maneno makali ya kumtupia. Ningemjua mganga ama hata mchawi Rajabu angekuwaamerukwa na akili kitambo.
Hapakuwa na kesi, lakini alinikasirisha. Nikamtafuta Maimunarafiki yangu wa jadi kulalama. Akanipa ushauri nimpigie daktariwa kienyeji aitwae Dr. Mugwenu nilimalize tatizo hilo la kutokuwa na amani katika ndoa yangu. Sikungoja kitumbuakiingie mchanga. Dr. Mugwenu akanieleza kuwa watu kama haowapo, wasiopenda kuona watu wakivuna matunda ya juhudi zao. Rajabu alikuwa mmoja wa mahasidi wasiotaka kuona nduguyeama hata rafikize wakifanikiwa. Jawabu akaniahidi analo. Dawaza kienyeji zikakorogwa, zengine zikapondwa, zikachanganywana kufukizwa ndani.
Potelea mbali!! Rajabu haikupita siku mbili alikuwa amefungavirago na kutokomea. Aende akakasirikie huko!! Ndoa yanguikasitirika. Mume wangu Baraka akaendea kunipenda zaidi nafuraha ikaongezeka. Kweli Dr. Mugwenu ndio mbabe wamababe. Jaribu uone!!
MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.
He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248https://mugwenudoctors.com Email: mugwenudoctors@gmail.com