Close Menu
  • Home
  • Celebrity Gossip
  • Entertainment News
  • Featured
  • Photo News
  • Advertise with Us
  • About Us
  • Privacy Policy
Facebook X (Twitter) Instagram YouTube WhatsApp
Facebook X (Twitter) Instagram YouTube WhatsApp TikTok
BigEye.UG
Subscribe
  • HOME
  • CELEBRITY GOSSIP
  • ENTERTAINMENT
  • PHOTO NEWS
  • VIDEO NEWS
  • MONEY
    • Money
    • Features
BigEye.UG
Home»News»Mdhamini Wa Azimio Azimia Nairobi Baada Ya Maandamano Kumletea Tuhuma za Uchochezi na Usababishaji wa Ghasia
News

Mdhamini Wa Azimio Azimia Nairobi Baada Ya Maandamano Kumletea Tuhuma za Uchochezi na Usababishaji wa Ghasia

BigEyeUg1By BigEyeUg1August 6, 2024
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp

Maandamano yaliyofanyika tarehe 20, mwezi wa tatu yameleta zogo, huku video zikisambaa mitandaoni zikionyesha vijana mabarobaro wakikabiliana na polisi. Vitoa-machozi havikufua dafu. Rungu na mijeledi havikutosha. Cha kushangaza ni kuona umati wa watu ukitembea pamoja, huku wakishtumu ongezeko la bei ya bidhaa, hali ya maisha na uchumi kuzorota. Imeibuka hivi punde kuwa mmoja ya waliokuwa kipao-mbele kupanga na kudadua maandamano hayo ameshtumiwa na anasakwa kwa udi na uvumba kwa kumdhalilisha rais aliyeko mamlakani.

Screenshot

Samson Opindi, kijana wa umri wa makamo anatafutwa kote kwa sababu ya kazi yake nzuri iliyozaa matunda katika mrengo wa Azimio. Samson hakuwa hata na kazi miaka mitatu iliyopita. Wanaomkumbuka watakuhadithia jinsi alivyokuwa akizungusha nyanya mtaa wa Kisumu-ndogo ulioko Rongai. Kusoma alikuwa amesoma, hadi akapata stashahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu Cha Nairobi. Maisha yalimpiga vita vya ndondi, akashindwa hata kuinua kichwa kutazama mbele ajionee nafasi za kunufaika.

Lakini miaka mitatu ni mingi. Kwa sasa yeye ndiye anayetegemewa kuunda ratiba ya Maandamano nchini kote. Ameibuka kuwa mtu muhimu kwa familia yake na wafuasi wote wa “Baba”. Masaibu ya Samson yaliisha baada ya kumtembelea Daktari wa kienyeji aitwae Dr. Mugwenu, apatikanaye Vihiga, Magharibi mwa nchi. Akapewa huduma safi na tajika.

Halikupita hata juma moja, Samson Juma akapata kazi inayolipa vizuri katika serikali. Hakukoma hapo, Dr. Mugwenu akamsaidia kupata cheo na hapo ndipo akakutana na viongozi unaoegemea upande wa Upinzani nchini. Sifa na uwezo wake wa kuchapa kazi ukaonekana na kumuuzia sera na sura.
Samson alipatwa na mshtuko mkubwa alipopata fununu kuwa anatafutwa. Akazimia. Lakini baada ya kumpigia Dr. Mugwenu tena, akamhakikishia kuwa maisha yake matamu hayako hatarini wala baharini. Asiwe na wasiwasi kamwe. Dr. Mugwenu, anayejulikana kote ana uwezo wa kulinda maisha yako, Mali yako na kukuletea bahati njema, kibiashara na kiafya.

Usijinyime usingizi, chukua mkondo kama wa Samson, kupitia nambari ya 0740637248, Daktari Mugwenu utampata leo na upate afueni, uishi maisha ya amani na furaha.

MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.

He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248 https://mugwenudoctors.com Email: mugwenudoctors@gmail.com

Related

Share. Facebook Twitter WhatsApp Email
Previous ArticleNatasha Nyonyozi Biography: Age, Family, Education Background, Music, and Career
Next Article “If I Don’t Play Along, She Will Hurt My Kids. I Married a Witch, Am Telling You” Eldoret Man Shares Harrowing Details On How He Lives in Constant Fear, Narrates How He Finally Stopped His Wife From Practicing Satanic Rituals

Related Articles

Mary Karooro Okurut Dies from Injuries Sustained in Road Accident

Mt. Rwenzori Marathon receives a UGX 800M boost

Gabzy Announces Full Scholarships for Two Exceptional Underprivileged Girls at International University of East Africa (IUEA)

Homes Expo 2025  officially launched

Ssegirinya’s Widow Fatuma Nanfuka Cries Out for Help Amid Kidney Illness

Spice Diana Returns with New Music Anthem “Award”

Latest News

Frank Gashumba Endorses Museveni for President – 2026

August 14, 2025

Johnnie Walker adds Bold Flavor to the Katogo Golf Series 19th hole experience

August 14, 2025

2025 Tupange Business ne Equity Nation Wide Forums Launched With A Pledge For Stronger SME Support 

August 14, 2025

Grace Nakimera Praises Juliana Kanyomozi and Iryn Namubiru for Musical Excellence

August 14, 2025

Da Agent Claims He Introduced Crysto Panda to Music

August 14, 2025
Follow Us
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
BigEye.UG
Facebook X (Twitter) Instagram YouTube WhatsApp TikTok
  • Sitemap
  • Privacy Policy
  • Contact Us
© 2025 BigEye.UG | All Rights Reserved

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.